Maono
Tanzania bila Kifua Kikuu
Misheni
Kuboresha afya na ustawi wa jamii kupitia uratibu, kujenga uwezo na kukuza ubunifu miongoni mwa AZAKi na wadau wengine ili kuchangia kikamilifu katika kutokomeza Kifua Kikuu nchini Tanzania.
Maadili
-
Kujituma
-
Heshima
-
Uwazi
-
Uwajibikaji
-
Uadilifu
-
Ubunifu
-
Kufanya kazi kama timu
-
Kujitolea
-
Ubora
-
Mazingira Rafiki